Wizkid aanza rasmi safari ya matumaini
Wizkid aanza rasmi safari ya matumaini
Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Wizkid ameanza safari yake rasmi ya kushoot video zake zote ndani ya bara la Afrika kama alivyotangaza wiki iliyopita.
Wizkid
Jana Davido ameudhihirishia umma juu ya kauli yake hiyo kwa kuachia video yake ya kwanza kwa mwaka huu ‘SOCO’ ambapo kichupa hicho kimeongozwa na Clarence Peters na video yote imechukuliwa na jijini Lagos.
Hatua ya Wizkid kutangaza tamko la kusitisha kushoot videozake nje ya bara la Afrika, imeungwa mkono na Wanaijeria kwani wanaamini kuwa huu ni muda wa kuitangaza zaidi Afrika kwani kuna maeneo mengi na mazuri ya kushoot.

No comments: